
Thursday, April 1, 2010
AJARI ZA BARABARANI
USAFIRI WA KUSINI




Tumeona japo hali ya usafiri kwa wananchi wa mikoa hii ya kusini kutokuwa nzuri kwa siku za nyuma hali hiyo inaonyesha kuleta matumaini kwa wasafiri wa kwenda katika mikoa hiyo, mbali na hali ya miundombinu hususani ya barabara kutotengemaa kwa huwepo sehemu korofi. Ambazo kwa jitihada za serikali inajitahidi kulitafutia ufumbuli. Lakini usafir ni wa uhakika kwenda maeneo hayo ya kusini.
HATUA YA UZAAJI WA KOROSHO




Korosho ni zao ambalo linalimwa katika maeneo haya ya mikoa ya kusini. Katika hatua za hawali kabisa wakulima wanaanza kuyaandaa mashamba yao mapema kwa kufanya palizi na kuyasafisha. Inafika hatua ya mikorosho kutoa maua ambapo wakulima hawa hupulizia dawa maalum kwa ajili ya wadudu wahalibifu. Baadae maua haya yanatoa matunda (korosho) hizi zinakuwa changa kwa wenyeji wanaziita (madunge). na katika hatua ya upuliziaji wa dawa hili hufanyika kuanzia mara tatu na zaidi.
Subscribe to:
Comments (Atom)








