



Tumeona japo hali ya usafiri kwa wananchi wa mikoa hii ya kusini kutokuwa nzuri kwa siku za nyuma hali hiyo inaonyesha kuleta matumaini kwa wasafiri wa kwenda katika mikoa hiyo, mbali na hali ya miundombinu hususani ya barabara kutotengemaa kwa huwepo sehemu korofi. Ambazo kwa jitihada za serikali inajitahidi kulitafutia ufumbuli. Lakini usafir ni wa uhakika kwenda maeneo hayo ya kusini.
No comments:
Post a Comment
HI.............