Thursday, April 1, 2010

HATUA YA UZAAJI WA KOROSHO






Korosho ni zao ambalo linalimwa katika maeneo haya ya mikoa ya kusini. Katika hatua za hawali kabisa wakulima wanaanza kuyaandaa mashamba yao mapema kwa kufanya palizi na kuyasafisha. Inafika hatua ya mikorosho kutoa maua ambapo wakulima hawa hupulizia dawa maalum kwa ajili ya wadudu wahalibifu. Baadae maua haya yanatoa matunda (korosho) hizi zinakuwa changa kwa wenyeji wanaziita (madunge). na katika hatua ya upuliziaji wa dawa hili hufanyika kuanzia mara tatu na zaidi.

No comments:

Post a Comment

HI.............