Thursday, April 1, 2010

TAMADUNI
















Kama ilivyo kwa watu wengi wanasema kuwa tamaduni za makabila mbalimbali zimekuwa zikipotea lakini kwa wenyeji wa mikoa ya kusini hilo lipo bado sana utokana na mila na tamaduni hizi kuendelezwa, mfano uchongaji wa sanamu (vinyago), ngoma za asili, nyumba za asili, n.k

No comments:

Post a Comment

HI.............